Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi katika kikao cha utekelezaji wa Mpango kazi kwa robo mbili ya Julai-Disemba 2019/2020 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi Nd,Marium Abdalla Saadala (kushoto) pamoja na watendaji mbali mbali katika Wizara hiyo wakiwa katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi kwa robo mbiili ya Julai-Disemba 2019/2020, kilichofanyika leo ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) Ikulu Mjini Zanzibar.
Waziri wa Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi Manga Mjengo Mjawiri(kushoto) alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji Mpango kazi kwa robo mbili ya kipindi cha Julai-Disemba 2019/2020 katika kikao cha Uongozi wa Wizara hiyo kilichofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar, Mwenyekiti wake akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee (kulia).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilikmo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi Nd,Marium Abdalla Saadala (kushoto) alipokuwa akisoma taarifa ya Utekelezaji wa Mapango kazi kwa robo mbili Julai-Disemba 2019/2020 katika mkutano wa Wizara hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,chini ya Mwenyekiti wake Raios wa Zanzib ar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) na Naibu Katibu Mkuu anayeshuhulikia (Mifugo na Uvuvi) Dkt.Omar (kulia)
Wakurugenzi wa Idara mbalimbali katika Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wakifuatilia kwa makini Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango kazi kwa robo mbili ya Julai-Disemba 2019/2020 iliyosomwa katika kikao maalum kilichofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
Wakuu wa Idara mbalimbali na Maafisa katika Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wakiwa katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi kwa robo mbili ya Julai-Disemba 2019/2020 kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein(katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi katika kikao cha utekelezaji wa Mpango kazi kwa robo mbili ya Julai-Disemba 2019/2020 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji,Wakala wa Serikali wa huduma za Matrekta na Zana za Kilimo, Affan Othman Maalim (katikati) akichangia katika kikao cha Utekelezaji wa Mapango kazi kwa robo mbili Julai-Disemba 2019/2020 katika mkutano wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) mwengine (kushoto) Mkurugenzi Idara ya Utumishina Uendeshaji Nd,Noah Saleh Said.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi Nd,Mussa Aboud Jumbe (kushoto) alipokuwa akichangia katika kikao cha Utekelezaji wa Mapango kazi kwa robo mbili Julai-Disemba 2019/2020 katika mkutano wa Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani), (Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...