Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati
katika Mkutano wa Utekelezaji Mpango kazi kwa Kipindi cha Julai-Disemba
2019, uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Waziri wa Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati Salama Aboud Talib (katikati)
akifafanua jambo katika Mkutano wa Utekelezaji Mpango kazi kwa Kipindi
cha Julai-Disemba 2019, kwa Wizara hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa
Ikulu Mjini Zanzibar,(kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia
Katibi Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee na Naibu Waziri wa
Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati Juma Makungu Juma
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati Nd,Ali Khalil
Mirza alipokuwa akisoma taarifa ya Utekelezaji Mpango Kazi kwa Kipindi
cha Julai-Disemba 2019,katika mkutano wa Wizara hiyo uliofanyika leo
ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) wengine Naibu Katibu
Mkuu Salhina Mwita Ameir.(Picha na Ikulu)
Wakurugenzi na Maafisa mbali mbali katika idara katika Wizara ya Ardhi,
Nyumba,Maji na Nishati wakiwa katika Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango
kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba 2019,uliofanyika leo ukumbi wa Ikulu
Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo Pichani)
Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Nd,Hassan Ali Mbarouk alipokuwa akijibu
suala lilioulizwa katika mkutano wa Utekelezaji wa Mpango kazi kwa
kipindi cha Julai -Disemba 2019,uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...