Kada Maarufu wa chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha Ibrahim Othman Jama ametia nia leo Julai 16,katika nafasi ya Udiwani Kata ya Levolosi.
Picha namba moja Ni Bwana Ibrahim Othman Jama akiwa na katibu wa chama Cha Mapinduzi kata ya Levolosi wakati wa zoezi la Uchukuaji fomu.
Picha namba mbili Kada Ibrahim Othman Jama akiwa ameshikilia fomu ya Udiwani wa kata ya Levolosi iliyopo katika Halmashauri ya jiji la Arusha.
Picha namba moja Ni Bwana Ibrahim Othman Jama akiwa na katibu wa chama Cha Mapinduzi kata ya Levolosi wakati wa zoezi la Uchukuaji fomu.
Picha namba mbili Kada Ibrahim Othman Jama akiwa ameshikilia fomu ya Udiwani wa kata ya Levolosi iliyopo katika Halmashauri ya jiji la Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...