MAKAMU
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akifurahia jambo na Mgombea Urais
wa Zanzibar kupitia CCM Mhe.Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, wakati wa
hafla ya mapokezi ya Mgombea yaliofanyika katika viwanja vya Afisi Kuu
ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MAKAMU
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wanachama wa CCM
na Wananhi wa Zanzibar wakati wa hafla ya mapokezi ya Mgombea wa Urais
wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Mhe.Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi
yaliofanyika katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini
Zanzibar.(Picha na Ikulu) MAKAMU
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Mgombea wa Urais wa
Zanzibar kupitia CCM Mhe.Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, akimkaribisha
ili kuzungumza na Wananchi na Wanachama wa CCM katika viwanja vya Afisi
Kuu Kisiwandui Jijini Zanzibar wakati wa hafla ya mapokezi ya mgombea
akitokea Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu) MGOMBEA
Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali
Hassan Mwinyi akizungumza na Wanachama wa CCM Zanzibar katika viwanja
vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar wakati wa hafla ya
mapokezi akitokea Jijini Dodoma baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa
CCM wiki iliopita.(Picha na Ikulu) WANACHAMA
wa Chama Cha Mapinduzi wakishangilia wakati wa hafla ya mapokezi ya
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Mhe. Dkt. Hussein Ali Hassan
Mwinyi (hayupo pichani) wakati akiwahutubia katika viwanja vya Afisi Kuu
ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu) WANACHAMA
wa Chama Cha Mapinduzi wakishangilia wakati wa hafla ya mapokezi ya
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Mhe. Dkt. Hussein Ali Hassan
Mwinyi (hayupo pichani) wakati akiwahutubia katika viwanja vya Afisi Kuu
ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...