Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru (katikati) jana  amesaini mkataba wa ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania  na  Mwenyekiti wa Kampuni ya Reli kutoka nchini China, Bw.Xie Zhixiang CRJE(East Africa) ambaye  hayupo pichani .Jengo hilo litajengwa kwa  muda wa miaka miwili, eneo la NCC Jijini Dodoma. Kushoto ni Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Wilbert Chuma na (kulia) ni Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kevin Mhina.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Reli kutoka nchini China, Bw.Xie Zhixiang CRJE(East Africa) akisaini mkataba huo. Tukio hili limefanyika kwenye ofisi za  Makao Makuu ya Mahakama ya  Tanzania,Jijini Dar es Salaam.PICHA NA INNOCENT KANSHA - MAHAKAMA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...