MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wajumbe wa
Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma.(Picha na Ikulu) MWENYEKITI
wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akifuatilia matokeo ya Uchaguzi ya Mgombea Urais wa
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupeperusha bendera ya CCMm wakati wa
Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma(Picha na Ikulu) WAJUMBE
wa Mkutano Mkuu wa CCM wakishangilia wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi
wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma.(Picha na Ikulu)
MGOMBEA Urais
wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dkt. Hussein Ali
Hassan Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM katika
ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)MSANII
wa Kizazi kipya Bongo Flava Diamond akitowa burudani kwa Wajumbe wa
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi wakati wa mkutano huo uliofanyika
katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...