Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akikabidhiwa
fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya
Chama cha mapinduzi (CCM) na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Mbeya Mjini, Ndg.
Gervas Ndaki tukio lililofanyika leo katika ofisi za CCM Wilaya Mkoani Mbeya. Kulia
ni Mume wake aliyemsindikiza, Ndg. James Andilile Mwainyekule
Naibu
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akitoa hela kwa ajili ya
kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini
kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi (CCM) kwa Katibu wa Chama Cha
Mapinduzi Mbeya Mjini, Ndg. Gervas Ndaki tukio lililofanyika leo katika
ofisi za CCM Wilaya Mkoani Mbeya.
Naibu
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizungumza na Katibu wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mbeya Mjini, Ndg. Gervas Ndaki wakati
alipofika katika ofisi za CCM Wilaya kwa ajili ya kuchukua fomu ya
kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya Chama
cha Mapinduzi (CCM).
Naibu
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisaini kitabu cha wageni kabla
ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini
kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi (CCM) katika ofisi za CCM Wilaya
Mkoani Mbeya. Kulia ni Mume wake aliyemsindikiza, Ndg. James Andilile
Mwainyekule.(PICHA
NA OFISI YA BUNGE).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...