TUME ya Madini leo tarehe 13 Julai, 2020 imekuwa mshindi kwenye Kundi la Nishati na Madini kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yaliyomalizika leo katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Katibu Mtendaji tume ya madini, Profesa Shukrani Manya akiwa ameshika tunzo waliopata katika kipengele Cha madini na gesi wameibuka washindi wa kwanza
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...