Msajili wa Vyama vya Siasa Mhe. Jaji Frances Mutungi akizungumza wakati wa kufungua mafunzo kuhusu elimu kwa umma juu ya sheria ya vyama vya siasa na sheria ya gharama za uchaguzi kwa watumishi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa(ORPP) leo tarehe 14 Julai jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa wafanyakazi wa ORPP katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza akiwasilisha mada kuhusu sheria ya vyama vya siasa na kanuni zake  wakati wa mafunzo kuhusu sharia hiyo kwa watumishi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa(ORPP) leo tarehe 14 Julai jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa wafanyakazi wa ORPP katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Mkuu wa Sehemu ya Usajili wa Vyama vya Siasa, Bw. Muhidin Mapeyo akiwasilisha mada kuhusu kanuni za maadili ya vyama vya siasa wakati wa mafunzo kuhusu elimu kwa umma juu ya sheria ya vyama vya siasa na sheria ya gharama za uchaguzi kwa watumishi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa leo tarehe 14 Julai jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa wafanyakazi wa ORPP katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Baadhi ya washirikI  wa mafunzo kuhusu elimu kwa umma juu ya sheria ya vyama vya siasa na sheria ya gharama za uchaguzi kwa watumishi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) leo tarehe 14 Julai jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa wafanyakazi wa ORPP katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.Msajili wa Vyama vya Siasa Mhe. Jaji Frances Mutungi(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) mara baada ya kufungua mafunzo kuhusu elimu kwa umma juu ya sheria ya vyama vya siasa na sheria ya gharama za uchaguzi kwa watumishi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa leo tarehe 14 Julai jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya ushiriki wa wafanyakazi wa ORPP katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.Kutoka kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Tehama, Bibi. Chevu Sepuka na Muhudumu wa Simu, Bi. Rose Lazaro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...