Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Tunduma akiwa katika ziara ya mkoa wa Songwe, Julai 6, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Momba, David Silinde akiwasalimia wananchi katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini Tunduma, Julai 6, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Momba David Silinde (kulia) akiongoza sala maalum ya kuwaombea viongozi wakuu wa kitaifa wakati alipopewa fursa ya kuwasalimia wananchi katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini Tunduma, Julai 6, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...