Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua upanuzi na uboreshaji wa bandari ya Mtwara Julai 7, 2020. , 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa
wa Mtwara, Gelasius Byakanwa na katikati ni Meneja wa Bandari ya Mtwara,
Mhandisi Juma Kijavara.
Eneo la bandari ya Mtwara linalopanuliwa katika maboresho yanayofanywa
na serikali ili kukuza uwezo wa bandari hiyo. Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa amekagua upanuzi huo Julai 7, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...