Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika kikao cha
Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha Mwaka 2020/2021
kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na
Ikulu.] 10/08/2020.
Viongozi katika Wizara ya Afya zanzibar wakiwa katika Kikao cha
Utekelezaji Mpango kazi wa Mwaka 2020/2021 kilichofanyika leo katika
Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani).[Picha na Ikulu] 10/08/2020. Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee alipokuwa akichangia katika
Kikao cha Utekelezaji Mpango kazi wa Mwaka 2020/2021- kulichofanyika
leo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar, (kushoto) Naibu
Waziri wa Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati Mhe. Juma Makungu Juma,[Picha na Ikulu] 10/08/2020. Viongozi wa Idara mbali mbali katika Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao katika
Kikao cha Utekelezaji Mpango kazi wa Mwaka 2020/2021 kilichofanyika leo
katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ikulu]
10/08/2020. Viongozi wa Idara mbali mbali katika Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati wakiwa
katika Kikao cha Utekelezaji Mpango kazi wa Mwaka 2020/2021
kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar chini
ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).[Picha na Ikulu]
10/08/2020. Mshauri wa Rais Pemba Dk.Mauwa Daftari akichangia katika kikao
cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha Mwaka 2020/2021
kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya
Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein ,[Picha na Ikulu.] 10/08/2020. Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Nd,Halima Maulid Salum alipokuwa
akisoma taarifa ya Mpango kazi wa Wizara hiyo kwa mwaka 2020/2021
katika kikao kilichofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya
Mwenyekiti wake Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani) na Mkurugenzi Mkuu katika Wizara ya Afya Dk.jamala Adam
Taib (kulia).[Picha na Ikulu] 10/08/2020.
Home
HABARI
TAARIFA
ZANZIBAR
DH.SHEIN AKUTANA NA WIZARA MBALI MBALI ZA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...