KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Magereza, Suleiman Mzee akicheza mchezo wa
'Draft' na Mfungwa wa Gereza Mbarali, Mkoani Mbeya. Wafungwa hushiriki
burudani mbalimbali gerezani ikiwa ni sehemu mojawapo ya programu za
Urekebishaji magerezani. #UREKEBISHAJI.
Kamishna
Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akikagua shamba la zao la korosho
katika eneo la Gereza Mbarali Mkoani Mbeya alipofanya ziara ya kikazi
leo Agosti 6,2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...