Dagaa kutoka mkoa wa Kagera wakiwa  katika soko Kuu la Kariakoo  wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam wanauzwa kwa bei ya sh.6000hadi  Sh.8000
kwa  
kilo moja  Kama inavyoonekana pichani.
(Picha na Emmanuel Massaka,Michizi Tv)

Bei ya Tango  katika Soko  Kuu la Kariakoo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam  yanauzwa kwa fungu moja lenye matango matatu kwash.1000.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...