MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiongoza Kikao cha
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika
Ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais)
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.Mhe. Samia Suluhu Hassan na
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Balozi Seif Ali Iddi.(Picha
na Ikulu).
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein.(hayupo pichani) akifungu Kikao hicho kilichofanyika
katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
WAJUMBE wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM
Zanzibar, wakiwa wamesimama wakati Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akiwasili
katika ukumbi wa Kikao Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini
Zanzibar.(Picha na Ikulu) MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza wakati akikifungua Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashari Kuu
ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe. Samia Suluhu Hassan na (kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar
Dr. Abdalla.Juma Mabodi.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...