Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Bw Theobald Sabi akimkaribisha Makamu wa Rais, Mh Samia Suluhu (Kulia) kwenye banda la benki hiyo lililopo kwenye Maonesho ya 28 ya kilimo na mifugo - Nane Nane yanayofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu yakiwa na Kauli mbiu “Kwa Maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Chagua Viongozi Bora 2020”. Benki hiyo ni moja wa wadhamini wa Maonesho hayo.
Makamu wa Rais, Mh Samia Suluhu (Kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Bw Theobald Sabi alipokuwa akielezea kuhusu huduma za benki hiyo kwa wadau wa kilimo wakiwemo wakulima wakati Makamu wa Rais alipotembelea banda la benki hiyo lililopo kwenye Maonesho ya 28 ya kilimo na mifugo - Nane Nane yanayofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu yakiwa na Kauli mbiu “Kwa Maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Chagua Viongozi Bora 2020”. Benki hiyo ni moja wa wadhamini wa Maonesho hayo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Bw Theobald Sabi (katikati) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh Anthony Mtaka (wa pili kulia) kwenye banda la benki hiyo lililopo kwenye Maonesho ya 28 ya kilimo na mifugo - Nane Nane yanayofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Nyakabindi, Bariadi Mkoani Simiyu yakiwa na Kauli mbiu “Kwa Maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Chagua Viongozi Bora 2020”. Wengine ni viongozi wa waandamizi wa benki hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...