Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Bendera ya Muungano kutoka kwa Vijana wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja kwenye Maadhimisho  ya siku ya Wakizimkazi yanayofanyika kila Mwaka katika kijiji cha Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo Agosi 13,2020.  .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Meneja wa Banki ya NMB kanda ya Dar es salaam na Zanzibar  Donatus Richard alipotembelea maonesho ya siku ya Wakizimkazi yanayofanyika kila Mwaka katika kijiji cha Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo Agosi 13,2020. kulia Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahamoud  .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mtoto Jamali Abuu Mtoro (5) Mwanafunzi wa Darasa la 1 katika Kituo cha kulelea Watoto cha Assalam Community Forndation Kizimkazi Wilaya ya Kusini Mkoa wa kusini Unguja  alipotembelea Kituo hicho leo Agosti 13,2020 wakati wa maadhimisho ya Sherehe ya siku ya Wakizimkazi yanayofanyika kila Mwaka katika kijiji cha Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Kituo cha kulelea Watoto cha Assalam Community Forndation cha Kizimkazi Wilaya ya Kusini Mkoa wa kusini Unguja kinachoongozwa na Bibi Hatice Colak Mwenyeji wa Uturuki  leo Agosti 13,2020 wakati alipotembelea Kituo hicho wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wakizimkazi yanayofanyika kila Mwaka katika kijiji cha Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja.       
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Zawadi maalum kutoka kwa Viongozi wa Banki ya NBC kwenye maadhimisho  ya siku ya Wakizimkazi inayofanyika kila Mwaka katika kijiji cha Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo Agosi 13,2020.                                     (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...