Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akihutubia kwenye hafla ya kilele cha maonesho ya nanenane mkoani Simiyu
 Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga akimkabidhi kombe Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya ziwa, Ayubu Kalufya, kwenye maonesho ya nanenane katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu, baada ya kuibuka washindi wa pili wa huduma za mawasiliano, kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo Mariam Mmbaga.
 Wananchi wa kanda ya ziwa wakishuhudia matukio mbalimbali kwenye kilele cha maonesho ya nanenane mkoani Simiyu, katika viwanja vya Nyakabindi huku mabango ya Vodacom yakipepea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...