KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Magereza, Suleiman Mzee akikagua shughuli za uvunaji wa mahindi kwa kutumia mtambo wa kisasa(Combine harvester)ukivuna mazao ya mahindi leo katika mashamba ya Gereza Songwe, Mbeya. Mtambo huo una uwezo wa kuvuna ekari 60 kwa siku. KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Magereza, Suleiman Mzee akikagua mtambo wa uvunaji wa nafaka(Combine harvester). Mtambo huo unaendelea na shughuli za uvunaji wa mahindi leo katika mashamba ya Gereza Songwe, Mbeya.  Magunia ya mahindi yakiwa katika shamba la Gereza Songwe, Mbeya mara baada ya shughuli za uvunaji(Picha zote na Jeshi la Magereza).Mahindi yakiwa tayari yamevunwa na mtambo wa kisasa wa kuvunia kabla ya kuhifadhiwa kwenye magunia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...