Afisa Mkuu wa Huduma Shirikishi wa Benki ya NMB, Nenyuata Mejooli akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki hiyo kwenye hoteli ya Gran Melia jijini Arusha.
Mwakilishi
wa kiwanda cha ngozi cha Tanneries kutoka Himo Wilaya ya Moshi - France
Sawerio kulia,akitoa maelezeo kwenye maonesho ya bidhaa anazo
zitengeneza,wakati Viongozi wa Benki ya NMB walipo tembelea banda lake
wakati wa Kongamano la wafanyabiashara Wadogo na wa Kati (NMB Business
Club), lililofanyika katika ukumbi wa Kuringe - mjini Moshi.
Wafanyabiashara
wakubwa ambao ni wateja wa Benki ya NMB mikoa ya Arusha na Kilimanjaro
wakiwa katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki hiyo
kwenye hoteli ya Gran Melia jijini Arusha kujadili mikakati ya kuboresha
ushirikiano .
Washiriki
wa kongamano la wafanyabiasha Wadogo na wa Kati waliojiunga na Mtandao
wa NMB Business Club kutoka Arusha, Moshi na Tanga wakiwa katika
kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Kuringe mjini Moshi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...