Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha
Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa Itigi katika wilaya Manyoni mkoani
Singida mara baada ya kumaliza mikutano ya Kampeni katika mkoa
wa Tabora leo tarehe 22 Septemba 2020.
Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha
Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
mkono Wananchi wa Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida mara
baada ya kuwasili akitokea mkoani Tabora.
Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha
Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Tura Igalula mkoani Tabora
wakati akielekea Itigi mkoani Singida katika muendelezo wa
Mikutano ya Kampeni ya CCM leo tarehe 22 Septemba 2020.
Wananchi wa Kijiji cha Tura Igalula mkoani
Tabora wakimsikiliza Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha
Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli mara baada
ya kuwasili kijijini hapo leo tarehe 22 Septemba 2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...