Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Itigi katika wilaya Manyoni mkoani Singida mara baada ya kumaliza mikutano ya Kampeni katika mkoa wa Tabora leo tarehe 22 Septemba 2020.

Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono Wananchi wa Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida mara baada ya kuwasili akitokea mkoani Tabora. 

Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Tura Igalula mkoani Tabora wakati akielekea Itigi mkoani Singida katika muendelezo wa Mikutano ya Kampeni ya CCM leo tarehe 22 Septemba 2020.

Wananchi wa Kijiji cha Tura Igalula mkoani Tabora wakimsikiliza Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili kijijini hapo leo tarehe 22 Septemba 2020.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...