Maafisa wa RITA wakiwa wanatoa huduma kwa wananchi waliojitokeza katika banda hilo kupata huduma ya vyeti vya kuzaliwa kwenye kampeni ya 1stop huduma Katika eo katika Viwanja vya  Zakhem Mbagala wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka, Michuzi Tv)Afisa usajili RITA,Mariam linga'nde(kulia) akimwelekeza Mwananchi namna ya kujaza fomu ya cheti cha kuzaliwa leo  katika kampeni 1stop huduma kwenye viwanja vya Zakhem  wilaya Temeke jijini Dar es Salaam.Wananchi wakiwa kwenye foleni katika banda la RITA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...