Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, George Simbachawene akikabidhi Kompyuta mpakato (Laptops) kwa wanafunzi mbalimbali waliojishindia zawadi kwa kuandika Insha kuhusu uhifadhi wa mazingira wakati wa maadhimisho ya miaka 35 ya uhifadhi wa tabaka la Ozone yaliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais na kufanyika Jijini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, George Simbachawene akikabidhi Kompyuta mpakato (Laptops) kwa wanafunzi mbalimbali waliojishindia zawadi kwa kuandika Insha kuhusu uhifadhi wa mazingira wakati wa maadhimisho ya miaka 35 ya uhifadhi wa tabaka la Ozone yaliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais na kufanyika Jijini Dodoma.
Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation , Sandra Oswald akizungumza wakati wa maadhimisho ya miaka 35 ya uhifadhi wa tabaka la Ozone yaliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais na kufanyika Jijini Dodoma, Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation ilitoa zawadi za kompyuta tano zenye thamani ya zaidi ya Tsh.13 milioni kwa ajili ya zawadi kwa washindi wa kitaifa wa shindano la kuandika Insha kuhusu uhifadhi wa mazingira .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...