Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbagala Lusubilo Mwakabibi, amemtangaza Mgombea Ubunge Jimbo hilo Kupitia CCM Abdallah Chaurembo kuwa mshindi kwa kupata kura 283,000 akifuatiwa na Hadija Mwago (CHADEMA) mwenye kura 13,985 na Kondo Bungo (ACT) kura 3856.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...