Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Makete, amemtangaza Mgombea Ubunge jimbo hilo Kupitia (CCM) Festo Sanga kuwa mshindi kwa kupata kura 24,237 akifuatiwa na Ahadi Mtweve (CHADEMA) mwenye kura 5077 na Grace Jekela (NCCR) kura 981.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...