Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Ujenzi Liwale mkoa wa Lind

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa  akizungumza na mgombea ubunge wa CCM wa Jimbo la Liwale, Zuberi Kuchauka katika mkutano wa kampeni aliouhutubia kwenye  uwanja wa Ujenzi Liwale mkoa wa Lindi,

 Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika Jimbo la Liwale , Zuberi Kuchauka  (wa pili kulia) akicheza muziki wa Sengeli wakati Msanii Shalo Mwamba (kulia) alipoimba katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa kwenye  uwanja wa Ujenzi Liwale mkoa wa Lindi

Wananchi wa Liwale wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Ujenzi Liwale mkoa wa Lindi, Oktoba 25, 2020

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...