Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM kwa Wanachama wa Chama cha mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Paje  katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Paje Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja 

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Paje wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,  alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi  katika Uwanja wa Shule ya sekondari Paje Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja

Msanii wa Bongo Flavour Zuhura Othman Zuchu akitumbuiza kwenye mkutano wa kampeni za Chanma cha Mapinduzi CCM uliofanyika leo Octoba 19,2020  katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Paje Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja, ambapo Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...