Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi kabla
ya kuzindua Kiwanda cha Bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro International
leather Industries Co Ltd kilichojengwa kwenye eneo la Gereza Kuu la
Karanga Moshi mkoani Kilimanjaro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bidhaa za Ngozi pamoja
na mashine za Kiwanda hicho cha Ngozi cha Kilimanjaro International leather
Industries Co Ltd kilichojengwa kwenye eneo la Gereza Kuu la Karanga mkoani
Kilimanjaro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifatilia hotuba mbalimbali kabla ya kuzindua Kiwanda hicho cha Ngozi cha Kilimanjaro International leather Industries Co Ltd kilichojengwa kwenye eneo la Gereza Kuu la Karanga mkoani Kilimanjaro.
Wafanyakazi mbalimbali wa Kiwanda hicho cha Ngozi cha Kilimanjaro International leather Industries Co Ltd wakiwa wanatengeneza viatu vya aina mbalimbali mara baada ya uzinduzi wa Kiwanda hicho. PICHA NA IKULU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...