Baadhi
ya wanafunzi wa sekondari toka shule mbalilmbali nchini wakionyesha
vyeti vyao vya kuhitimu mafunzo ya ubunifu wa Website Women in Data
Science Dar es Salaam 2020 yaliyoandaliwa na Tanzania Data Lab kwa
udhamini wa Vodacom Tanzania PLC.
Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa Vodacom Tanzania PLC, Naiman Moshi akiongea na wahitimu wa mafunzo
ya ubunifu wa Website “ Women in Data Science Dar es Salaam 2020"
yaliyoandaliwa na Tanzania Data Lab kwa udhamini wa Vodacom Tanzania PLC
kupitia programu yake ya Code like a girl yaliyowashirikisha wanafunzi
wa kike jijini Dar es Salaam.
Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa Vodacom Tanzania PLC, Naiman Moshi akibidhi
zawadi ya begi kwa Shamimu Mbaga ambaye ni mkuu wa kundi la Mwalimu
Careers Campany akiwa na wenzake mara baada ya kuibuka washindi wa
kwanza katika mafunzo ya ubunifu wa Website “
Women in Data Science Dar es Salaam 2020" yaliyoandaliwa na Tanzania
Data Lab kwa udhamini wa Vodacom Tanzania PLC kupitia programu yake ya
Code like a girl yaliyowashirikisha wanafunzi wa kike jijini Dar es
Salaam.
Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa Vodacom Tanzania PLC, Naiman Moshi (kulia) akimkabidhi cheti
cha kuitimu mafunzo ya Women in Data Science Dar es Salaam 2020 kwa
Alistidia Lusonzi wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo
yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...