Sehemu ya wanachama wa CCM na wananchi wa kata ya Mkuranga wakiwa katika mkutano wa Kampeni wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega.
(Picha na Emmanuel Massaka,Michuzi Tv)
Wananchi wa kata ya Mkuranga wakimsikiliza Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah ulega katika mkutamo wa kampeni uliofanyika katika kata ya Mkuranga.
Mgombea Ubunge jimbo la Mkuranga wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, Abdallah Hamisi Ulega akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapindunzi na Wananchi kata ya Mkuranga katika mkutano wa kampeni ambapo amewaomba wachague wagombea wa (CCM) ili waendelee kupata mikopo isiyo na riba kwa inatotolewa na serikali ya amamu ya tano
(Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...