BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Novemba 21,2020 limetangaza matokeo ya darasa la saba

Akitangaza matokeo hayo leo Jumamosi, Novemba 21, 2020 Jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa baraza la Mitihani Tanzania(NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Jumla ya shule 38 sawa na asilimia 0.22 ya shule zote za msingi 17,329 zilizofanya mitihani, zimebainika kufanya udanganyifu wa mitihani kwa namna mbalimbali. 

Watahiniwa 1,059 sawa na asilimia 0.1 ya wote 1,023,950 waliofanya mitihani walibainika kudanganya.

Hapo chini ni matokeo ya watahiniwa ambao hawakudanganya katika ufanyaji wa mitihano.

BOFYA HAPA KUONA MATOKEO YOTE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...