BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Novemba 21,2020 limetangaza matokeo ya darasa la saba
Akitangaza matokeo hayo leo Jumamosi, Novemba 21, 2020 Jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa baraza la Mitihani Tanzania(NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Jumla ya shule 38 sawa na asilimia 0.22 ya shule zote za msingi 17,329 zilizofanya mitihani, zimebainika kufanya udanganyifu wa mitihani kwa namna mbalimbali.
Watahiniwa 1,059 sawa na asilimia 0.1 ya wote 1,023,950 waliofanya mitihani walibainika kudanganya.
Hapo chini ni matokeo ya watahiniwa ambao hawakudanganya katika ufanyaji wa mitihano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...