Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Job Ndugai(kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Ecobank Tanzania, Charles Asiedu(kushoto) mara baada ya kutembelea Makao makuu ya Benki iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam leo. Spika Ndugai ni mteja wa benki hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...