VUKA LENGO NA USHINDE: “Ili kuwa mshindi, kila wakala alitakiwa kuvuka lengo alilopewa, kulingana na historia ya miamala yake ya kila siku. Zaidi ya mawakala 4,000 walifanikiwa kuvuka malengo yao na kushinda zaidi ya shilingi milioni 400.” Angelica Pesha, Mkuu wa Kitengo cha Tigo Pesa #TigoPesaNiZaidiYaPesa #TigoPesaWakalaPush
TIGO PESA BOOST MTAJI!: “Nawashukuru Tigo kwa kuwa kupitia #TigoPesaWakalaPush wameweza kuniboost mtaji wangu” Piason Baruti, Wakala Tigo Pesa na Mshindi wa Milioni 1.5
#TigoPesaNiZaidiYaPesa
Mkuu Kitengo cha Tigo Pesa-Tz akiwa na katika picha ya Pamoja na washindi

WASHINDI KANDA ZOTE! Tumepata washindi kutoka kanda zetu 4,Pwani, kanda ya Ziwa, kanda ya Kusini na kanda ya kaskazini. Na hawa ni washindi waliofanya vizuri zaidi katika kanda ya Pwani.
NIMEONGEZA MTAJI: “Kupitia promosheni hii ya Tigo mtaji wangu umeongezeka hivyo nimeweza kuwahudumia wateja wengi zaidi” Neema Swai-Wakala Tigo Pesa & Mshindi Milioni 1.2
#TigoPesaNiZaidiYaPesa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...