Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Uzini,Khamis Hamza Chilo akiwasili katika Kijiji cha Bambi kilichopo katika Shehia ya Kijibwemtu, wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja leo kwa ziara ya kikazi ikiwemo kusikiliza kero za wananchi akitumia usafiri wa baiskeli ili kuweza kuwafikia wananchi waliopo maeneo ya ndaniPicha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...