Rais wa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akiwasili mtaa. wa Lumumba jijini Dar es salaam kuzindua
rasmi jengo la Jitegemee House pamoja na Studio za
Channel Ten Plu,Radio Magic FM na Radio Classic FM leo Alhamisi
Februari 25, 2021

Rais wa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akizundua rasmi jengo la Jitegemee House pamoja na Studi za Channel Ten Plu,Radio Magic FM na Radio Classic FM leo Alhamisi Februari 25, 2021

Rais wa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika studio mpya za Magic FM baada ya kuzindua rasmi jengo la Jitegemee House pamoja na Studio za
Channel Ten Plu,Radio Magic FM na Radio Classic FM Mtaa wa Lumumba
jijini Dar es salaam leo Alhamisi Februari 25, 2021

 Rais wa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
akiondoka baada ya kuzindua rasmi jengo la Jitegemee House pamoja na
Studi za Channel Ten Plu,Radio Magic FM na Radio Classic FM leo Alhamisi
Februari 25, 2021 Rais wa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitembelea maeneno mbalimbali baada ya kuzindua rasmi jengo la Jitegemee House pamoja na Studio za
Channel Ten Plu,Radio Magic FM na Radio Classic FM leo Alhamisi Februari 25, 2021.

PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...