Timu ya Masoko na Uhusiano iliongozwa na Mkurugenzi wa Masoko wa UTT AMIS, Daud Mbaga (kulia), ilipomtembelea Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai (wa pili kushoto) na kujadiliana kuhusu shuguli za Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS. Kushoto ni Afisa wa UTT AMIS kutoka Dodoma, Ahmed Salim na Afisa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Martha Mashiku.
Timu ya wataalamu watakaotoa elimu ya Uwekezaji wa Pamoja kwa wabunge na watumishi wakiwa katika picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...