Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Mhe. Jokate Mwegelo (katikati) akiotesha mti kwenye eneo la hifadhi ya msitu wa mazingira asilia wa Kazimzumbwi wilayani humo,  ikiwa ni sehemu ya tamasha la Kisarawe Ushoroba Festival linaloambatana na upandaji miti ili kutunza mazingira pamoja na shughuli mbalimbali za utalii. Kulia ni Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald ambao ni wafadhili wa tamasha hilo na Mhifadhi Mazingira kutoka WWF, Dkt. Severin Kalonga . WWF na Vodacom Tanzania ni wadau wa kulinda na kutunza mazingira nchini.
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Mhe . Jokate Mwegelo akibadilishana mawazo na Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald.

Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald akizungumza kwenye siku ya pili ya tamasha la Kisarawe Ushoroba Festival linaloendelea wilayani humo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...