“TUNASHUKURU sana @tigo_tanzania kwa kutuamini sisi kutunza miti hii 10,000 ambayo tutahusika kusimamia upandaji na utunzaje wake katika wilaya hii ya Hai.”
Asifiwe James - Mkurugenzi @voewofo

MITI YETU NI UHAI WETU na kwamba mahitaji mengi muhimu katika maisha yetu ya kila siku yanategemea miti kwa njia moja au nyingine”

Henry Kinabo - Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini

Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033

Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033

Meneja wa Tigo kanda ya kaskazini Saidi Iddi akipanda mti wa #TigoGreenForKili kuunga mkono mkakati wa Tigo na wadau wake kurejesha mazingira rafiki pembezoni mwa Mlima Kilimanjaro ili kurejesha theruji ya Mlima huo iliyopo hatarini kutoweka kufikia mwaka 2033

Wafanyakazi wa @tigo_tanzania wakishirIki upandaji wa miti ya #TigoGreenForKili katika kuunga mkono mkakati wa kupanda miti 28,000 ili kurejesha theluji ya Mlima Kilimanjaro iliyoathiriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na shughuli za kibinadamu.

Wafanyakazi wa @tigo_tanzania wakishirIki upandaji wa miti ya #TigoGreenForKili katika kuunga mkono mkakati wa kupanda miti 28,000 ili kurejesha theluji ya Mlima Kilimanjaro iliyoathiriwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na shughuli za kibinadamu.

 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...