Wanawake Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiwa wanafanya mazoezi ya viungo kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Diniani Machi 8, 2021.
………………………………………………………………………………..
Wanawake Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wafanya mazoezi ya viungo pamoja na wanawake wenzao ikiwa ni kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani Machi 08, 2021.
Awali tarehe 05, machi 2021, Wanawake hao walitembelea Kituo cha kulelea watoto Tumaini kilichopo kata ya Miuji Jijini Dodoma na kutoa vifaa mbalimbali na zawadi kwa watoto hao.
Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni “Wanawake katika Uongozi, chachu kufikia Dunia yenye usawa”
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...