Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha kazi na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Kamishina Mkuu wa TRA, Kamishina wa Forodha na Msajili wa Hazina, kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 20, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...