Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mkutano wa Kazi wa Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Aprili 8, 2021.

Manaibu Mawaziri, David Silinde, Ofisi ya Rais– TAMISEMI (kushoto) na Hussein Bashe wa Wizara ya Kilimo, wakinukuu maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika Mkutano wa Kazi wa Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Aprili 8, 2021.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ummy Mwalimu (kushoto) akiteta na Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinoloji, Profesa Joyce Ndalichako katika Mkutano wa Kazi wa Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Aprili 8, 2021.
Baadhi ya Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Makakatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu, Makamishina na Wakuu Taasisi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao katika Mkutano wa Kazi wa Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Aprili 8, 2021.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Doroth Gwajima akimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika Mkutano wa Kazi wa Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Aprili 8, 2021. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu akimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika Mkutano wa Kazi wa Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Aprili 8, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...