Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
Philip Isdor Mpango, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.
George Simbachawene, wakati Mhe. Simbachawene alipofika Ofisini kwa Makamu wa
Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo Mei 04,2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. George Simbachawene, wakati Mhe. Simbachawene alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo Mei 04,2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...