Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama pamoja na viongozi wa ofisi yake wakioneshwa muonekano wa uwanja Mwehe wakati wa maandalizi ya kufikia uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2021, anayetoa maelezo hayo ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana wa ofisi hiyo, Bw.James Kajugusi, kulia kwa Waziri ni Naibu wake Mhe Ummy Nderiananga (Wenye Ulemavu) na wa kwanza kushoto ni Naibu wake (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Patrobas Katambi.Waziri alifanya ukaguzi huo Mei 15, 2021 katika Viwanja vya Mwehe Makunduchi Mkoani Kusini Unguja Zanzibar.

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid Hadid akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama wakati wa kukagua maandalizi hayo.

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw.James Kajugusi akimuonesha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama mpangilio na maendeleo ya maandalizi ya kufikia siku uzinduzi wa Mbio za Mwenye wa Uhuru 2021 Zanzibar.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi) Mhe. Dkt. Halid Salim kizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kukagua maandalizi hayo.

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw.James Kajugusi akimuonesha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama mpangilio na maendeleo ya maandalizi ya kufikia siku uzinduzi wa Mbio za Mwenye wa Uhuru 2021 Zanzibar.

Vijana wakimbiza Mwenge wa Uhuru 2021 wakifanya mazoezi wakati wa maandalizi hayo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama pamoja na watendaji wake wakikagua jukwaa wakati maandalizi ya kufikia siku uzinduzi wa Mbio za Mwenye wa Uhuru 2021 Zanzibar.

 

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...