Akitoa taarifa ya Mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amesema kikao icho kitafanyika Ukumbi wa Mikutano Mlimani city kuanzia saa 8 Mchana.
Aidha RC Kunenge ametoa wito kwa Wazee waliopata mialiko ya kushiriki kikaoh icho kujitokeza kwa wingi ili wapate kusikiliza kile ambacho Rais Mhe. Samia amewaitia.
Kwa upande wao Viongozi wa Wazee wamemshukuru Mhe. Rais Samia kwa kuona umuhimu wa kukutana na Wazee huku wakisema wanatarajia Kikao hicho kitakuwa na Manufaa makubwa kwao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...