Mkurugenzi Idara Huduma za Rais Ikulu Zanzibar (Mnikulu).Ndg. Mahmood Hashim Othman , akimkabidhi mmoja wa Wazee wa Makundi Maalum Bw. Subira Haji Mlenge, mchele na fedha, akikabidhi kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitry,hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Mnikulu Ikulu Jijini Zanzibar.

Mkurugenzi wa Idara Huduma za Rais Ikulu Zanzibar (Mnikulu) Ndg. Mahmood Hashim Othman, akizungumza na kuwasilisha salamu za Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, kwa  Wazee wa makundi maalum waliofika Ikulu kwa ajili ya kukabidhiwa Sikukuu iliotolewa na Rais, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Mnikulu Ikulu Jijini Zanzibar.

(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...