Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai awaongoza Waheshimiwa Wabunge katika futari aliyoiandaa kwa Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 07, 202, anaefuata ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu.

Waheshimiwa wabunge wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Spika Job Ndugai kwenye viwanja vya bunge Jijini Dodoma, Mei 07, 2021

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...