MRATIBU wa michezo kwa watoto mashuleni David Msuya amemkabidhi katibu mkuu wa Chama cha Netball Mkoa wa Dar es Salaam (CHANEDA,) Joseph Stanslaus Ng'anza kiasi cha shilingi laki nne kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya 'Kazi Iendelee Cup 2021'

  Mashindano hayo ni kwa lengo la kuunga mkono jitihada za serkali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hssan katika kuleta maendeleo kwa wananchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...