MRATIBU wa michezo kwa watoto mashuleni David Msuya amemkabidhi katibu mkuu wa Chama cha Netball Mkoa wa Dar es Salaam (CHANEDA,) Joseph Stanslaus Ng'anza kiasi cha shilingi laki nne kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya 'Kazi Iendelee Cup 2021'
Mashindano hayo ni kwa lengo la kuunga mkono jitihada za serkali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hssan katika kuleta maendeleo kwa wananchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...