Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22
Juni, 2021 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini
Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na
Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC utakaofanyika
kesho tarehe 23 Juni, 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...