Kupitia vyombo vya habari jana usiku,  Madereva wa Malori waliopo Tunduma,  dhidi ya mwajiri wao  kampuni ya Evarist Freight Ltd, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu mwenye dhamana ya Kazi na Ajira Nchini,anafuatilia suala hilo na leo atatoa ufafanuzi .


NUKUU "Kupitia vyombo vya habari jana, nimesikia malalamiko ya madereva wa malori waliopo Tunduma, dhidi ya mwajiri wao Kampuni ya Evarist Freight Ltd,  nafuatilia na leo nitatoa Ufafanuzi. "
Mhe. JENISTA MHAGAMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
(Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu)
20 Juni 2021."

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...