Na Mwamvua Mwinyi,Chalinze

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete ,ametembelea kuona maendeleo ya Ujenzi wa Mradi wa Bwawa Kubwa la Maji litakalogharimu Shilingi Milioni 900 huko Mjembe, Kwamduma linalojengwa na Wakala wa Maji Vijijini-RUWASA.

Akizungumzia ujenzi huo ,alieleza bwawa hilo ,litakapokamilika litapeleka maji kwa Vitongojj vyote kwa kijiji cha Kwamduma.

Ridhiwani alisema maji safi ni muhimu kwa afya za binadamu hivyo watarajie wakazi hao kuondokana na kero ya maji.

Ridhiwani Pia ameongea na wananchi na kuwaasa kujikinga kupambana na gonjwa la Korona na kwenda kuchanja.

Aliwaondoa hofu na kuwataka wakachanjwe kwa hiari zao na kuwaambia Chanjo hiyo haina madhara .

#AsanteSerikali #KaziInaendelea




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...